Friday, 6 June 2014

walioshiriki mbio za mita mia nne bonanza la ajtc hawa hapa

baadhi ya wanafunzi walioshiriki mbio za mita mia nne

kwa upande  wa wanawake ambao wameshiriki  wasichana nane na kuibuka msichana mmoja  kuibuka kidedea ambaye ni  editha mshana  na wasichana wengine kuishia njian.

 Hata hivyo  pia kwa upande  wa wavulana nao alipatikana mshindi ambaye aliwaacha kwa umbali mrefu ambapo alipatikana mshindi ambaye ni Ayubu martin aliyeibuka kidedea hapo jana.

No comments:

Post a Comment