Wednesday, 23 April 2014

KUTANA NA GINA KATIKA PISHI LA DAGAA LILILOPIKWA KWA MAFUTA YA MAWESE NA UGALI WA DONA

Haya  sasa  jamani  tunakutana  tena  katika  mambo  yetu  yale  ya  mambo  ya  maakuliiiiiii kila mtu haya  maeneo  anakuwa yupo makini  sana

WANAFUNZI WA SEKONDARI MTWARA WALALA SAKAFUNI


Wanafunzi  68 kati ya 556 wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Bweni katika Manispaa ya Mtwara-Mikindani, wanalazimika kulala chini kutokana na upungufu wa

Thursday, 10 April 2014

kutana na aunt gina katika kutambua Dalili za mwanaume anayekupenda kwa dhati


ANAVYOTAZAMA
Mwanasaikolojia Zick Rubin kutoka Chuo cha Havard nchini Marekani aliwahi kusema kwamba watu wanaopendana hutumia asilimia 75 kutazamana kuliko